Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

24 Forecast

HALI YA HEWA TANZANIA

TAHADHARI: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA KIGOMA, KATAVI, RUKWA, SONGWE, KAGERA, GEITA, MWANZA, MARA, SIMIYU, KILIMANJARO, ARUSHA, MANYARA, TANGA, DAR ES SALAAM NA PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.PAKUA HAPA