Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

Downscale Forecast

MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA (MACHI – MEI), 2026 KWA MAENEO YA KASKAZINI MWA MKOA WA KIGOMA

Dondoo

  1. Kwa ujumla mvua za Wastani hadi Juu ya Wastani zinatarajiwa katika maeneo ya kaskazini mwa mkoa wa Kigoma.
  2. Mvua zinatarajiwa kuanza wiki ya nne ya mwezi Februari na wiki ya kwanza ya mwezi Machi, 2026.
  3. Mvua zinatarajiwa kuisha wiki ya tatu na ya nne ya mwezi Mei, 2026.
  4. Upo uwezekano wa kutokea vipindi vya ukavu vya siku kumi (10) au zaidi katika msimu huu wa Masika, 2026.

Kwa taarifa zaidi tafadhali pakua